Moja kati ya sababu kuu saba ambazo kwazo wanawake wanaweza wakahudumu kama makuhani.
Nyakati za Agano la kale,hakika,wanawake walichukuwa wa nafasi ya pili katika dini. Kwa kuwa wanawake hawakutahiriwa, hawakuwa watu wa Agano kwa njia ya kipekee. Wasingeweza kutolea sadaka zao wenyewe. Waliwategemea wanaume daimai, hata katika mambo ya kidini. | |
Yesu Kristu alibadilisha hayo yote. Ubatizo unaashiria mlango wa msingi kwa sakramenti zote, ikiwa ni pamoja na daraja la upadre. | |
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
baptised | empowered | liberated | ordained | affirmed | supported | called |