|
Nyakati za Agano la kale,hakika,wanawake walichukuwa wa nafasi
ya pili katika dini. Kwa kuwa wanawake hawakutahiriwa, hawakuwa watu wa Agano
kwa njia ya kipekee. Wasingeweza kutolea sadaka zao wenyewe. Waliwategemea
wanaume daimai, hata katika mambo ya kidini. |
 |
 |
Yesu Kristu alibadilisha hayo yote. Kila mwanamke
aliyebatizwa huwa Kristu mwingine, kama vile mwanaume alivyo. "Wote
waliobatizwa katika Kristu, wamemvaa Kristu, hakuna tena ubaguzi kati ya
Wayahudi na wasio Wayahudi, mtumwa na aliye huru, mwanaume na mwanamke Each
woman who is baptised becomes another Christ, just as a man is.
(Wagalatia 3:28). Kila mwanamke aliyebatizwa, hushiriki ukahani, ufalme na
unabii wa Kristu. Ubatizo unaashiria mlango wa msingi kwa
sakramenti zote, ikiwa ni pamoja na daraja la upadre. |