|
|---|
|
|
Katika historia ya Kanisa, vitu vitatu vimejitokeza ambavyo
kwavyo mtu hujongea daraja takatifu Hivi ndivyo huitwa madaraja matakatifu
|
![]() |
![]() |
Wanawake walipewa daraja la ushemasi katika kanisa la Kale.
Desturi hii imehifadhiwakimaandishi tangu karne za kwanza tisa,hasa katika Kanisa la Kigiriki(mashariki). Wanawake mashemasi walisaidia katika ubatizo wa wanawake uliohitaji kupakwa mafuta na kuzamishwa majini mwili mzima. Twafahamu bayana kanuni za daraja zilizotumika. Zahusisha kuwekwa mikono na Askofu, sala ya Roho Mtakatifu ya kupewa ushemasi na kupewa stola ya ushemasi. Soma hapa mfano halisi wa kanuni hizo. Daraja la ushemasi lilifanana kwa kila kitu kwa wanaume na wanawake. Kama wanawake mashemasi hawakupewa daraja kihalali,basi, hata wanaume mashemasi hawakupewa kihalali. |
| Wakati huo
Kanisa la kigiriki(mashariki) lilikuwa Katoliki kabisa, kwani mgawanyiko wa
magharibi ulitokea mwaka 1054. Desturi hii yaweza kupatikana kutoka wakati wa Mt. Paulo. Alihudumu pamoja na Foibeshemasiwa kanisa la Kenkrea(Warumi 16:1-2). Mitaguso ya kimataifa ya kanisa kama Kalsedoni, Trullo n Nisea ya II, ilikubali daraja la ushemasi kwa wanawake. Basi, kama wanawake walipokea daraja takatifu wakati huo vile vile hata sasa waweza pokea. |
|||
Kitabu cha hivi karibuni juu ya wanawake mashemasi
Script for dramatizing the ancient ordination rite Reviews ----- * ----- How to Order |
|||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| baptised | empowered | liberated | ordained | affirmed | supported | called |
|
|
|---|
Please bookmark us & tell your friends about our website |
||||||
![]() Stumble |
![]() |
![]() Squidoo |
![]() |
![]() Del.icio.us |
![]() Digg |
![]() Slashdot |
![]() Fark |
![]() Furl |
![]() Newsvine |
![]() Magnolia |
![]() BlinkList |
![]() Spurl |
![]() Simpy |
Do not forget to say a good word about us on your blog |
||||||
| Put a link to us on your own website |
|
||||||||||||||||
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|