Nederlands/Vlaams Deutsch Francais English language Spanish language Portuguese language Italiano
Catalan Czech Esperanto Greek Igbo Japanese Korean Latin Malay language Norwegian Polish Swahili Tagalog
Home Page!

Kuna walau sababu saba Kwa nini wanawake wanaweza na yawapasa kepewa madaraja matakatifu.

Kuna walau sababu saba Kwa nini wanawake wanaweza na yawapasa kepewa madaraja matakatifu.

1.Ukuhani mmoja katika Kristu,
Kwa njia ya ubatizo wanawake na wanaume wanashiriki sawa katika ukuhani mpya wa Kristu.
Hii inajumuisha utayari wao katika madaraja matakatifu.
click!

2.Wamewezeshwa kuadhimisha
Wakati wa Karamu ya mwisho Yesu aliwawezesha wanawake na wanaume. Wote wanaweza kupewa daraja na kuadhimisha Ekaristi. click!

3.Upendeleo wa Kiutamaduni
Desturi ya Kanisa ya kutowapa daraja wanawake kama makuhani ililenga vigezo vitatu vya upendeleo dhidi ya wanawake. Hii iliathiri maamuzi ya viongozi wa Kanisa.click!

4. Wanawake walishawahi kuwa Mashemasi
Mpaka walau karne ya tisa Kanisa liliwapa wanawake sakramenti kamili ya daraja la ushemasi. Hii inathibitisha kuwa wanawake wanaweza kupewa daraja la upadre click!

5. Uwezo wa wanawake kupewa daraja umekuwapo kwenye mapokeo ya Kanisa yasiyoridhiwa.
Mfano mmojawapo ni ibada ya zamani kwa Maria kama kuhani. Hii inaonesha kwamba kulingana na hali ya waamini kwa Maria kizuizi dhidi ya wanawake kimeshaondolewa.click!

6. Sehemu kubwa ya Kanisa hukubali daraja la upadre kwa wanawake.
Baada ya sala na utafiti wa ndani, makanisa mengine ya Kikristu sasa yanawapa wanawake daraja la upadre. Ijapokuwa si kila kitu ambacho makanisa mengine yanafanya chaweza kukubaliwa na Kanisa Katoliki,makubaliano haya ya pamoja ya waamini wa Kikristu yadhihirisha kwamba, daraja kwa wanawake ni kulingana na mtizamo wa Kristu. click!

7. Wanawake pia,kwa hakika, wameitwa kuwa makuhani.
Ukweli kwamba wanawake wengi wawajibikaji wa Kikatoliki huamua wenyewe wito wa upadre ni ishara ya Roho Mtakatifu ambayo hatuwezi kuipuuza.click!

Hitimisho: Hakuna hoja halali dhidi ya wanawake mapadre, na hamna hoja nyingi za Kikatoliki zinazounga mkono jambo hili.

   

Join us  .  .  .  !

Then what about papal teaching
banning women priests?

Read our frequently asked questions!



Join our Mailing List
for occasional newsletters:
Email:
Name:
Surname:
City:
Country:
 
An email will be immediately sent to you
requesting your confirmation.

We are looking for (voluntary?) full-time or part-time staff

Do you believe strongly in the case of women? Have you carried responsibility? Do you know how to deal with people and have good communication skills?

Then, please, click here to apply

Read the books that complement our website:

The Ordination of Women in the Catholic Church. Unmasking a Cuckoo's Egg Tradition

This book by John Wijngaards, published by Darton, Longman & Todd (UK), Continuum (USA), Media House (India), as well as in Italy, France, Holland and Japan, is a classic on the topic.

More information here.

Reviews

 

 

 

Women Deacons in the Early Church. Historical Texts and Contemporary Debates

Another classic by John Wijngaards published by Canterbury Press (UK), Crossroad (USA), and Berne (Netherlands).

More information here.

Reviews

 

Find links to related websites in your own country! Make this site one of your favourites! Recommend this website to a friend! Let us have your ideas and suggestions! Create a button and link to our site from your web page! Women's Ongoing Internet Consultation 'Friends' give us a regular contribution We need your financial support!